Pia mwaka wa 2014 hakuna ambaye atakayetaka kuukumbuka!

Ilichapiswa Jan 31, 2014 naye Elect of The Endtimes HUKUMU ZA KINABII ZA MUNGU ZILIZOTIMIA HIVI KARIBUNI, NA: 2013 NA 2014 NI MIAKA, AMBAYO HAKUNA MMOJA ATAKAYETAKA KUIKUMBUKA! MILANGO YA MAFURIKO YA GHADHABU YA MUNGU INAENDA KUSHUKA DUNIA YOTE! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC  

Ufunuo wa kinabii: Yule roho wa kupotosha wa Maitreya!

Ilichapishwa Jan tarehe 16, mwaka wa 2014 ElectOfTheEndtimes Kwenye Mei tarehe 4 mwaka wa 2013 FUNUO ZA KINABII NA TAHADHARI KUTOKA KWAKE MWENYEZI MUNGU KUHUSU YULE ROHO WA KUPOTOSHA WA MAITREYA! HUYU ROHO NA OWUOR KWELI WAPO ROHO MOJA, NAFSI NA MWILI! HUYU NI ROHO MWENYE NGUVU ZA KUPOTOSHA! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © […]

Ujumbe wa kinabii wa mungu: Kuongezeka kwa shenga ya RFID!

Ilichapishwa Jan tarehe 3, mwaka wa 2014 ElectOfTheEndtimes MARA NYINGINE TENA MUNGU WA ABRAHAMU, ISAKA NA YAKOBO ANAONYA DUNIA, MSIKUBALI SHENGA YA RFID, ALAMA HIYO YA HUYO MNYAMA, ILE AMBAYO ITAKUFANYA WEWE KUANGAMIA MILELE, KWA SABABU WAKATI HUO UTAKUWA MALI YA SHETANI. Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC  

Kuangalia jehanamu ya siku zijazo!

Ilichapishwa Dec tarehe 27, mwaka wa 2013 ElectOfTheEndtimes UJUMBE WA KUTAHADHARISHA KUTOKA KWAKE MUNGU! BENJAMIN ANAZURU JEHANAMU, CHINI YA UONGOZI, NA ANAWAONA WATU WENGI MASHUHURI! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC  

Nikumbukeni mimi wakati wa kubadilisha mwaka na mizabibu ya muscateli

Ilichapishwa Des 19, 2013 na ElectOfTheEndtimes BWANA MWENYEWE ASEMA: NIKUMBUKENI MIMI WAKATI WA KUBADILISHA MWAKA, NA KILA ZABIBU, KWENYE KILA PIGO LA MASAA 24! BWANA MWENYEWE ATAKUBARIKI WEWE KWA KUFANYA HIVYO, KWA KUTII, ANA KUMHESHIMU KWA NJIA HII! Tafadhali eneza na usibadilishe © BC  

Kweli: Shenga ya RFID ndio ilea lama ya yule mnyama!

Ilichapishwa Dec 17, 2013 naye  ElectOfTheEndtimes BENJAMIN AONA, VILE BAADA YA SIKU TATU ZIFUATAZO, VIJANA WATAENDA KULAZIMISHWA KUIPATA SHENGA KATIKA SHULE YA SEKONDARI NCHINI MAREKANI KWA NJIA YA SERA YA KUFICHA NA KUKUZA! Tafadhali eneza na usibadilishe © BC  

Novemba tarehe 6, Mwaka 2013 Unabii kuhusu nchi nyingi!

Ilichapishwa Dec, tarehe 5, mwaka 2013 UNABII KUHUSU NCHI NYINGI! MALAIKA MTUMISHI WA MUNGU ALIZUNGUMZA KWA NIABA YA YESHUA HAMASIACH, YESU KRISTO, NA AKANENA: TAZAMA, YALE NINAYOWALETEA, KWA SABABU YA KUZIFUATA SANAMU ZA MIUNGU, LAKINI PIA KWA SABABU YA UNYANYASAJI WA WATOTO! Tafadhali eneza na usibadilishe © BC