Kutekwa kabisa kwa jumla kunaonekana zaidi siku baada ya nyingine!

Ilichapishwa Jan 22, 2015 naye Elect of The Endtimes  KINABII, UJUMBE WA UFUNUZI WA MUNGU, PAMOJA NA: MMOJA ATATAFAKARI NYUMA KUHUSU JOTO KALI LILILOKIDHIRI NA MVUA NYINGI ILIYOKIDHIRI YA 2014, NA KUNA BAADHI AMBAO WAMETEKWA KABISA ZAIDI HATA YA BINADAMU! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote  © BC

Lakini kutabiri ni kwa ajili yao wanaoamini

Ilichapishwa Jan 8, 2015 naye Elect of The Endtimes  Agosti 6, 2012  Nawaambia: Ufunuo 1, mstari 3  Heri wao wanayoyasikia maneno ya unabii! Yeyote atakayefanya kazi dhidi ya nabii Wangu sahili Benjamin na wafanyakazi wake, anafanya kazi dhidi ya Mungu, na Yeye atawalipa, Mungu mwenyewe! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote  © BC

Je unaamini ni kweli, kile ambacho Mungu hupitisha?

Ilichapishwa Dec 18, 2014 naye Elect of The Endtimes MALAIKA WA MUNGU KILA MARA HUJA NDANI YA JINA LA YESHUA HAMASIACH, ISA, YESU KRISTO, KWAKE MTUMISHI WA MUNGU NA NABII WA UKWELI, BENJAMIN COUSIJNSEN. HATA HIVYO BADO KUNA WENGINE WANAOFIKIRIA KWENYE VIKASHA, AMBAO HAWAWEZI KUAMINI. Tafadhali eneza na usibadilishe chochote  © BC

Isa ndilo lugha msingi (Kiarabu) la jina Yesu

Ilichapishwa Dec 4, 2014 naye Elect of The Endtimes  KWENYE UJUMBE HUU, AMBAO UMELETWA 100% NENO BAADA YA LINGINE KWAKE NABII BENJAMIN, NA KUANDIKWA MARA MOJA MBELE YA MALAIKA WA MUNGU, INADHIHIRISHWA WAZI KWA NINI PIA JINA ISA HUTAJWA! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Tofauti baina yake Yesu Kristo na Mohammed!

Ilichapishwa Januari 17, 2016 naye Elect of The Endtimes Ujumbe wa Mungu: Hakika, wengine husema, “Hakuna tofauti yoyote, je ipo, iwapo mimi naamini au sio katika Yesu Kristo au katika Mohammed?” Huu hapa ni ujumbe maalum, ambao malaika wa Bwana pia anarejelea (ukitaka unaweza kuchunguza haya) vifungu kutoka Korani, vikilinganishwa na ukweli wa Mungu, ulioandikwa […]

Ufunuo kuhusu Ebola miongoni mwa mengine!

Ilichapishwa Okt 23, 2014 naye Elect of The Endtimes Ufunuo kutoka kwake Mungu virusi vya Ebola, na vinginevyo: Ebola na virusi vingine sasa hivi vinaenea! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Tawasifu ya Benjamin Cousijnsen

Ilichapishwa Okt 2, 2014 naye Elect of The Endtimes HII NDIO TAWASIFU ILIOLETWA, AMBAYO, KAMA UTAAMINI AU LA, NAYE MALAIKA MTUMISHI WA MUNGU. MALAIKA HUYU ANAELEZEA KUHUSU MIAKA YA MWANZO YA BENJAMIN COUSIJNSEN NA KUHUSU WAKATI BAADA YA KUTUBU KWAKE. Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Hivi ndivyo itakavyokuwa Kuja kwake Mwana wa Mtu!

Ilichapishwa Sep 25, 2014 naye Elect of The Endtimes MALAIKA MTUMISHI, RADI, ALIULETA UJUMBE HUU WA MUNGU! HIVI KARIBUNI WATU WATAYAONA MAANDIKO HAYA MADHUBUTI YAKITEKELEZWA! MTARAJIENI YESU KRISTO, MWOKOZI WENU, WAKATI HUU… SIMAMENI TAYARI! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Mipango yake ya siri Obama kupambana na Ebola!

Ilichapishwa Sep 24, 2014 naye Elect of The Endtimes Funuo za kinabii za Mungu kuhusu asili yake ya kweli Obama, na mipango yake ya siri nyuma ya ujenzi wa hospitali mpya, ili kupambana na Ebola! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Naye shahidi wa pili amefunuliwa!

Ilichapishwa Sep 24, 2014 naye Elect of The Endtimes UFUNUO WA KINABII WA MUNGU: NDANI YA UJUMBE HUU MUHIMU WA KINABII MWENYEZI MUNGU, MUNGU WA ABRAHAMU, ISAKA NA YAKOBO, ANAFUNUA NI NANI ALIYE SHAHIDI WA PILI. HEBU TANGULIA KUISHIKA BIBILIA YAKO! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC