Unabii: Kuonekana kwa UFO kutaongezeka hata kwa kiasi kikubwa zaidi!

Ilichapishwa Desemba 22, 2015 naye Elect of The Endtimes OKTOBA 23, 2012  UJUMBE WA KINABII: NAWAAMBIA, KUONEKANA KWA UFO KUTAONGEZEKA HATA KWA KIASI KIKUBWA ZAIDI; MMOJA ANAWAANDAA WANADAMU, ALISEMA MALAIKA WA MUNGU KWA NIABA YAKE MUNGU WA ABRAHAMU, ISAKA NA YAKOBO. Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Walioachwa nyuma, haya ndio mtakayopitia!

Ilichapishwa Oktoba 1, 2015 naye Elect of The Endtimes  Ujumbe wa tahadhari na ufunuzi wa Mungu: malaika mtumishi wa Mungu analeta ujumbe huu kutoka katika hali ya siku za usoni, ambayo itatokea duniani wakati baada ya Kunyakuliwa kutendeka! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Ufunuo: Usifanye mwenyewe kukosa Kunyakuliwa!

Ilichapishwa Septemba 24, 2015 naye Elect of The Endtimes  Ujumbe wa ufunuzi na maalum wa Mungu: Hakika, jichunguze mwenyewe kwa makini, na ulewa sasa kwa nini Yeshua HaMashiach, Yesu Kristo, hakuja sasa kwenye Septemba 13, 2015, kwenye Rosh Hashanah: Kwa sababu labda wewe hungekuwepo humo. Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Yeye atapiga bila ya kutarajia, kuwa tayari Kunyakuliwa kila siku!

Ilichapishwa Julai 20, 2015 naye Elect of The Endtimes Ujumbe wa Mungu: Dumisha urafiki wako, uhusiano wako na Yeshua HaMashiach, Yesu Kristo. Mtarajie Yeye, zikiri dhambi zako, na fanyia kazi miongoni mwa vitu vingine afueni yako, na… kuwa tayari kunyakuliwa! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Ufunuo wa kinabii: Barack Obama = Baraq = Umeme

Ilichapishwa Machi 19, 2015 naye Elect of The Endtimes  DESEMBA 30, 2012   FUNUO ZINGINE ZA KINABII KUMHUSU BARACK OBAMA. MALAIKA WAKE BWANA ANAPITISHA UJUMBE HUU, NDANI YA JINA LA BWANA YESU KRISTO. MFAHAMU ADUI WAKO NA UJE KWAKE KRISTO, MWOKOZI WAKO PEKEE! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote  © BC

Wateule wa Mungu watakusanywa pamoja ‘ulimwenguni-kote’!

Ilichapishwa Dec 18, 2014 naye Elect of The Endtimes  UJUMBE WA UFUNUO WA MUNGU: HAKIKA, IWAPO WEWE UPO WAZI KWA RISALA ZA MUNGU, KILE AMBACHO SISI MALAIKA WA MUNGU HULETA, UTAGUNDUA KWAMBA YESHUA HAMASHIACH, YESU KRISTO, NI YULE YULE. Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Wengi wanadhani, ‘Yeye hatarudi tena kwa enzi nyingi!’

Ilichapishwa Nov 6, 2014 naye Elect of The Endtimes Ujumbe wa Mungu, Uliofunuliwa kwake nabii wa nyakati za mwisho Benjamin Cousijnsen! Mmoja anafanywa kipofu kuhusu ishara za nyakati za mwisho na Kuja kwa Mara ya Pili kwake Yeshua HaMashiach, Yesu Kristo! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Tawasifu ya Benjamin Cousijnsen

Ilichapishwa Okt 2, 2014 naye Elect of The Endtimes HII NDIO TAWASIFU ILIOLETWA, AMBAYO, KAMA UTAAMINI AU LA, NAYE MALAIKA MTUMISHI WA MUNGU. MALAIKA HUYU ANAELEZEA KUHUSU MIAKA YA MWANZO YA BENJAMIN COUSIJNSEN NA KUHUSU WAKATI BAADA YA KUTUBU KWAKE. Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Hivi ndivyo itakavyokuwa Kuja kwake Mwana wa Mtu!

Ilichapishwa Sep 25, 2014 naye Elect of The Endtimes MALAIKA MTUMISHI, RADI, ALIULETA UJUMBE HUU WA MUNGU! HIVI KARIBUNI WATU WATAYAONA MAANDIKO HAYA MADHUBUTI YAKITEKELEZWA! MTARAJIENI YESU KRISTO, MWOKOZI WENU, WAKATI HUU… SIMAMENI TAYARI! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Unabii: Kunyakuliwa, ule Mkusanyiko, umeshafunuliwa!

Ilichapishwa Ago 14, 2014 naye ElectofTheEndtimes JAN 18, 2013  UFUNUO WA KINABII WA MUNGU: MALAIKA MTUMISHI WA MUNGU ALIPITISHA KILA NENO KATIKA UJUMBE HUU! IMESHAFUNULIWA KWAKE MWANA WA MUNGU NA MALAIKA, NA UFUNUO KUHUSU KAMBI ZA FEMA! Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC