Kama ilivyokuwa katika siku za Manabii wa kale!

Ilichapishwa Machi 15, 2016 naye Elect of The Endtimes Ujumbe wa ufunuzi na kuarifisha wa Mungu: Kama ilivyokuwa nao Manabii wa kale, nao malaika watakatifu wa Mungu walileta zaidi ya risala 3,000 hadi sasa, kupitia Nabii Benjamin Cousijnsen. Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Nimesubiri ya kutosha, nisafirishe juu katika mwanga wako, Bwana!

Ilichapishwa Aprili 4, 2016 naye Elect of The Endtimes Je, uko tayari Kunyakuliwa, kunakojulikana pia kama Kusanyiko? Wengi wamekosa subira, lakini baada ya uchunguzi wa binafsi, ukweli kuhusu hali yao huja kwenye mwanga. Jichunguze mwenyewe mara moja kwa msingi wa yale matunda tisa, kama wewe uko tayari Kunyakuliwa! Maandiko yote ya Biblia yalipitishwa katika ujumbe […]

Pigo kali za kiuchumi duniani ni sehemu ya mpango wa Illuminati!

Ilichapishwa Machi 7, 2016 naye Elect of The Endtimes Ujumbe wa kinabii, wa kutaarifisha na wa ufunuzi wa Mungu: Maduka ya rejareja yanalazimika kufunga kwa sababu ya hali ya uchumi wa dunia. Mmoja hataki kusema mambo haya kwa uwazi bali Illuminati wana mipango kubwa ya siku zijazo! Utasikia pia majina ya viongozi wa dunia, miongoni […]

Muhuri wa Mungu!

Ilichapishwa Februari 25, 2016 naye Elect of The Endtimes Ujumbe wa Mungu: Kwa maana Yeye, Rabbouni wako, ameutia muhuri Wake kwako, kwa kukupa wewe Roho Wake mtakatifu. Hii inamaanisha… Soma au sikiliza ujumbe kamili. Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Kile ambacho kitatendeka duniani hivi karibuni!

Ilichapishwa Februari 23, 2016 naye Elect of The Endtimes Ujumbe wa ufunuzi, kuarifisha na wa kinabii wa Mungu: Hakika, majanga mengi tayari yamepamba moto! Haitachukuwa muda mrefu hadi yafuatayo kutendeka… Utasikia kile ambacho kimetimia kwa kiasi kisicho kamilika, na kile ambacho kitatendeka duniani hivi karibuni. Nchi kadhaa zimetajwa! Soma au sikiliza ujumbe kamili. Tafadhali eneza […]

Msipotoshwe naye Owuor, huyu roho wa Maitreya pamoja na matendo yake!

Ilichapishwa Februari 11, 2016 naye Elect of The Endtimes Ujumbe wa ufunuzi na tahadhari wa Mungu: Mnatahadharishwa, tena! Je, mmeshamwoma huyu nabii, Dk. Owuor, ambaye anawadanganya watu wote, akiwa ameshika Biblia mkononi mwake? Hakika, kuwasili kwake kulikuwa kumepangwa, naye pia anasema: “Mimi ndimi udhihirisho wa Mungu, vile vile pia wa miujiza mingi.” Soma au sikiliza […]

Mpinga Kristo Obama hataki ukweli ulipuke!

Ilichapishwa Februari 3, 2016 naye Elect of The Endtimes Ujumbe wa ufunuzi na kuarifisha wa Mungu: Huyu baba wa uongo, mpinga Kristo Barack Obama, pia anaufunika ukweli! Soma au sikiliza zaidi kwa ujumbe kamili. Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Wewe mwenyewe ulikwenda mbali sana kwenye njia nyembamba!

Ilichapishwa Januari 28, 2016 naye Elect of The Endtimes Hakika, neno hili linalotumika mara nyingi sana, ‘hamartia’, ambalo husimamia dhambi, linatokea mara nyingi katika maandiko matakatifu, na linamaanisha: kukosa kutimiza lengo lako. Soma au sikiliza zaidi kwa ujumbe kamili. Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC

Nguvu ya miujiza ambayo pia inakwenda zaidi ya uelewa wako!

Ilichapishwa Januari 21, 2016 naye Elect of The Endtimes Ujumbe wa Mungu, uliowasilishwa naye malaika wa Mungu, mwua joka Mikaeli, kwake Nabii Benjamin Cousijnsen. Hakika, kuna nguvu, nguvu ya miujiza ambayo inapita ufahamu wote, pia uelewa wako! Shetani hataki wewe ukomae na kuwa moto mtakatifu ya Mungu. Tafadhali eneza na usibadilishe chochote © BC